Inayofuata

Askofu Zachary Kakobe: Kiongozi akikosea lazima aambiwe!

7 Kutazamwa· 04 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5

Askofu Kakobe wa Makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship(FGBF) anasema hakuna wa kumuhonga, majani ya chai yanayotumika IKULU ni yale yale yanayolimwa Mufindi hayana dhahabu ndani, hata pesa anazo kuliko Serikali. Waziri akitaka aende atamkopesha!

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata