Askofu Zachary Kakobe: Kiongozi akikosea lazima aambiwe!
0
0
7 Bekeken·
04 Augustus 2023
Askofu Kakobe wa Makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship(FGBF) anasema hakuna wa kumuhonga, majani ya chai yanayotumika IKULU ni yale yale yanayolimwa Mufindi hayana dhahabu ndani, hata pesa anazo kuliko Serikali. Waziri akitaka aende atamkopesha!
Laat meer zien
0 Comments
sort Sorteer op