Inayofuata

MITIMINGI # 187 SIFA 10 ZA KUZIVUTA FURSA NA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKO

2 Kutazamwa· 10 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5
katika Watu na Blogu

Ushawahi kujiuliza kwa nini Viongozi wengi hawafanikiwi? Makanisa Mengi hayakuwi? Biashara nyingi hazikuwi? Wanatimiza miaka 10 ya biashara, miaka 10 ya uongozi wao lkn ukiangalia maendeleo katika organization yapo pale pale.

KATIKA KITABU CHA "JINSI YA KUZIVUTA FURSA NA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKO" Nimechambua kwa undani sana kwa nini watu hawafanikiwi katika uongozi wao. Fursa zipo lkn haziwavuti.

Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. +255 713 18 39 39

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata