Manabii Wamjibu Askofu Kakobe Kuhusu Mafuta
0
0
3 مناظر·
04 اگست 2023
میں
Bible Teachings
Siku chache zilizo pita Askofu Kakobe aliwajia juu Manabii wenye ibada za kukanyaga mafuta na kusema ni ibada zisizo kuwepo kwenye Maandiko ya Biblia nahuo ni upotoshaji. Manabii wamjibu yeye ni nani awajie juu.
#ChomozaUpdate #Chomoza2019 #Chomozanews
مزید دکھائیں
0 تبصرے
sort ترتیب دیں