Berikutnya

Manabii Wamjibu Askofu Kakobe Kuhusu Mafuta

3 Tampilan· 04 Agustus 2023
proshabo
proshabo
5 Pelanggan
5

Siku chache zilizo pita Askofu Kakobe aliwajia juu Manabii wenye ibada za kukanyaga mafuta na kusema ni ibada zisizo kuwepo kwenye Maandiko ya Biblia nahuo ni upotoshaji. Manabii wamjibu yeye ni nani awajie juu.
#ChomozaUpdate #Chomoza2019 #Chomozanews

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya