Manabii Wamjibu Askofu Kakobe Kuhusu Mafuta
0
0
3 Tampilan·
04 Agustus 2023
Siku chache zilizo pita Askofu Kakobe aliwajia juu Manabii wenye ibada za kukanyaga mafuta na kusema ni ibada zisizo kuwepo kwenye Maandiko ya Biblia nahuo ni upotoshaji. Manabii wamjibu yeye ni nani awajie juu.
#ChomozaUpdate #Chomoza2019 #Chomozanews
Menampilkan lebih banyak
0 Komentar
sort Sortir dengan