Следующий

MITIMINGI # 186 MWANAMKE ANAHITAJI MATUNZO - JE, KWA NINI NI MUHIMU KUMTUNZA MKEO?

3 Просмотры· 10 Август 2023
proshabo
proshabo
5 Подписчики
5

Wanawake wengi sana walio kwenye ndoa, Mahitaji yao Muhimu wanajigharamikia wenyewe. Jukumu kubwa alilopewa mwanaume ni Kutunza Familia (Mke). Katika kitabu cha 1 Wafalme 2. B. Maandiko yanamuhasa mwanaume kuhusu kutunza familia. "Basi uwe hodari ujionyeshe kuwa Mwanamume". Usipomtunza mkeo nani atakutunzia? Challenge.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Counseling Psychologists +255 713 18 39 39

Показать больше

 0 Комментарии sort   Сортировать по


Следующий