Usimuige Mbuzu.
0
0
4 Kutazamwa·
01 Agosti 2023
katika
Mahubiri
Wimbo huu umeimbwa na muimbaji mahiri sana wa kitanzania, ndugu jangalason. Hivyo pia nimeshindwa kujizuia kuweza kusambaza wimbo huu nanyi ili kwa umakini tujifunze yaliyomo ndani ya wimbo huu maana ni wimbo unaogusa na kufundisha sana.
Bwana awabariki wote.
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa