Mchungaji huyu alivyo charuka Madhabahuni Mwaka mpya.
0
0
4 Bekeken·
19 Augustus 2023
In
Muziek
Mchungaji Abraham Raphael Shafuli wa Kanisa la Pentecoste Calvary Yombo Dovya lililopo Temeke,Dar es salaam ,alitoa ujumbe mzito kwawaumini wa kanisa hilona Wakristo kwa ujumla kujua kuwa Mungu anawachunguza matendo yao yote wanayoyafanya kila siku.
Laat meer zien
0 Comments
sort Sorteer op